BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MTUHUMIWA ANAPO GOMA KWENDA KITUONI.




PICHA YA KWANZA JUU:
Askari kanzu (mwenye fulana nyeusi) akijitahidi kumnasua kijana katika
nguzo ya umeme baada ya kung'ang'ania wakati akigoma kwenda kituocha
polisi katika mkoa wa Morogoro hata hivyo haikuweza kufahamika mara
moja sababu ya kijana huyo kupelekwa kituoni eneo la tuta la stendi
kuu ya daladala mjini hapa.

PICHA YA KATIKATI.
akimpeleka kituoni.

PICHA YA CHINI:

akiwa amewashika watuhumiwa wawili wakatai akiwapeleka kituoni kabla ya mmoja kumshinda na kubakiwa na mmoja ambaye alifanikiwa kumfikisha kituoni.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: