BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

AJALI YA PIKIPIKI MSAMVU MAPROCO.



Askari wa usalama barabarani mkoa wa Morogoro wakichukua maelezo eneo la Msamvu Maproco baada ya kutokea ajli ya iliyohusisha gari lenye namba ya usajili T 823 BAJ na pikipiki ambapo mwendesha pikipiki alidaiwa kuvunjika mguu katika ajali hiyo na kukimbizwa katika hospitali ya mkoa huo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: