BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAADHIMISHO YA SIKU YA SHERIA NCHINI.



Mkuu wa wilaya ya Morogoro Saidi Mwambungu akifafanua jambo wakati wa siku ya shertia nchini iliyoadhimshwa kwenye uwanja wa hakimu mkazi mkoa wa Morogoro mjini hapa, kushoto ni Kaimu Kamanda wa mkoa huo Shabaan Kimea na kulia kwake ni Hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa huo Richard Kabate.

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Saidi Mwambungu akifafanua jambo katika kilele hicho na kulia ni Hakimu mkazi wa mahakama ya mkoa huo Richard Kabate.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: