BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MOROGORO OPEN CHAMPIONSHIP




PICHA NAMBA 1.
Mchezaji wa Golf kutoka Jijini Dar es Salaam Gymkhana Club, Mwanaidi Ibrahimu akiingiza mpira katika shimo wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mchezo wa Golf Morogoro Open Championship ambayo yanayofanyika katika uwanja wa golf gymkhana ambapo zaidi ya washiriki 70 wanashirki katika mchezo huo mjini hapa.

PICHA NAMBA 2.
Mchezaji wa Golf wa Mufindi Gymkhana Club, Mike Gratwicke, kutoka mkoani Iringa akiingiza mpira katika shimo.

PICHA NAMBA 3.
Mchezaji wa Golf ya Lugala Gymkhana Club, Abdalla Ally, jijini Dar es Salaam akijindaa kupiga mpira wakati wa ufunguzi wa mashindano katika ufunguzi huo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: