BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MSAADA KWA OMBAOMBA.


Raia wa kigeni wakitoa msaada wa pesa kwa ombaomba laiyekaa chini katika eneo la daraja la mto Morogoro ambapo baadhi ya ombaomba wamekuwa wakikaa kwenye kingo za daraja hilo kuomba msaada wa pesa kwa wasamalia wema ili kujikimu na hali ngumu ya maisha mjini hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: