BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MWANAFUNZI HUYU HAKUWEZA KUJULIKANA MARA MOJA KAMA NI KONDA AU LAA.


Mwanafunzi wa shule ya sekondari katika Manispaa ya Morogoro akiwa ananing'inia katika mlango wa daladala lenye namba ya usajili T 226 AEG wakati akisafiri kutoka kituo kikuu cha daladala yaendayo nje ya Manispaa hiyo jambo ambalo nihatari.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: