BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAOMBI YA NAFASI YA KAZI: ANAHITAJIKA MENEJA KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO KATIKA KIJIJI CHA MKURANGA MKOANI PWANI.

ANAHITAJIKA Meneja wa Kijiji cha kulea watoto yatima kilichopo maeneo ya Mkuranga, nje kidogo ya jiji la Dar es salaam.

Awe mwenye uzoefu wa kufanya kazi na watoto wenye umri kuanzia miaka 0 mpaka 22 na awe amepitia ualimu na ustawi wa jamii, awe tayari kuhamia katika eneo la kulea watoto na awe na uwezo wa kuongea lugha za kishwahi na kiingereza kwa ufasaha.


Tuma maombi na vyeti vyako kupitia anuani hizi, 

Malaika Kids Tanzania
P.O Box 34046.
Dar es Salaam
E-mail najmamalaikakids@yahoo.


Mwisho wa kutuma maombi ni tarahe 25/6/2013.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: