BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

AJIRA ZISIZO RASMI HUPUNGUZA VIJANA KUJIINGIZA KATIKA MAKUNDI YA UHALIFU TANZANIA.


Msukuma mkokoteni wa stendi kuu ya daladala ziendazo nje ya Manispaa ya Morogoro, Dotto Mohamed akisukuma mkokoteni aliopakia tenki la kuhifadhia maji eneo la Masika baada ya kupewa kazi ya kusafirisha tenki hilo na tajiri wake kutoka katikati ya mji kwenda sehemu nyingine mkoani Morogoro, Kazi za kujiajiri husaidia vijana kutojiingiza katika vitendo vya uhalifu hapa nchini.PICHA/MTANDA BLOG

Afisa upande wa fedha wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) mkoa wa Morogoro, Quen Mapunda akifafanua jambo wakati wa mkutano uliohusisha waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda na wadau wa sekta hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.PICHA/MTANDA BLOG
Mkuu wa mkoa wa Morogoro mstaafu, Steven Mashishanga kushoto akizungumza jambo na viongozi wa taasisi ya jamii ya Manispaa ya Morogoro mara baada ya kutoa msaada wa magodoro na mablanketi yenye thamani ya sh800,000 katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Dar-Ul-Muslimeen cha MtoniStreet mkoani hapa.PICHA/MTANDA BLOG
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: