UKALI WA RAIS ROBERT MUGABE DHIDI YA HAWA WATU NDIO HUU.
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe anadaiwa kuwasweka rumande wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ambao waliotaka kufunga ndoa.
Baada ya taarifa za mashoga hao kujulikana walikamatwa na kupewa sharti la kuwaachia huru lakini endapo mmoja wao atakapopata ujauzito na taarifa hizo kusambaa katika mitandao ya kijamii.
Nchi ya Zimbabwe inapinga ndoa za jinsia moja.
0 comments:
Post a Comment