BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

UKALI WA RAIS ROBERT MUGABE DHIDI YA HAWA WATU NDIO HUU.

 
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe anadaiwa kuwasweka rumande wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja ambao waliotaka kufunga ndoa.

Baada ya taarifa za mashoga hao kujulikana walikamatwa na kupewa sharti la kuwaachia huru lakini endapo mmoja wao atakapopata ujauzito na taarifa hizo kusambaa katika mitandao ya kijamii.

Nchi ya Zimbabwe inapinga ndoa za jinsia moja.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: