Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro pamoja na Waandishi wa Habari na wadau wengine wamekamatwa na Polisi wakiwa kwenye utoaji pole na kukabidhi rambirambi leo kwenye shule ya Lucky Vincent jijini Arusha.
Wadau hao ambao walichanga pesa kiasi cha Tsh 28 Mil waliamua kukabidhi pesa hizo mchana wa leo kwa wahusika moja moja lakini ghafla polisi wakatokea na kuwaambia walifanya mkusanyiko usio rasmi na kuwakamata.
Tutaendelea kufuatilia ili kujua nini kinaendelea.
0 comments:
Post a Comment