Ajali ya basi ndogo iliyokuwa imebeba wanafunzi wa sekondari na treni ya abiria imetokea Manispaa ya Morogoro na kusababisha vifo vya watu watatu na kujeruhi 29 ambao walikimbizwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro leo majira ya saa 7 asubuhi.
Tukio hilo lilitokea eneo la Tenesco baada ya basi hilo kutaka kupita kabla ya kuzima katikati ya njia ya reli kisha kugongwa na kusombwa umbali wa mita 100 na treni hito.
0 comments:
Post a Comment