
Mnamo mwaka jana, nchi hiyo iliripotiwa kubana mawasiliano ya mitandao ya kijamii mara baada ya mitihani ya chuo kikuu kuvuja kwenye mitandao.
Kuna tetesi kuwa kufungwa kwa mitandao hiyo hivi sasa inatokana na sababu ileile ya mwaka jana ingawa taarifa hiyo inakanushwa.
Hali ya hatari iliyopo nchini Ethiopia tangu mwezi Oktoba mwaka jana imesababisha maamuzi hayo kufanyika.
Huduma ya intaneti kupitia simu za mkononi imekuwa ikifungwa mara kwa mara nchini humo.
0 comments:
Post a Comment