BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SBL YAMKARIBISHA BALOZI WA IRELAND NCHINI KATIKA KIWANDA CHAKE CHA MOSHI.

4  Balozi wa Ireland nchini  Fionnuala Gilsenan akipata maelekezo kutoka kwa mtaalamu wa maabara ya kiwanda hicho Jemima Mwambungu.5Mpishi mkuu wa bia za Kampuni ya bia ya Serengeti Moshi Julius Nyaki akitoa maelekezo kuhusu upikaji wa bia ya Guinness kwa Balozi wa Ireland nchini  Fionnuala Gilsenan mara baada ya kutembelea kiwanda hicho mwishoni mwa wiki.6Balozi wa Ireland nchini  Fionnuala Gilsenan(kulia) akizungumza na wana habari mara baada ya kumaliza ziara yake ya kutembelea Kiwanda cha Bia cha Serengeti cha mjini Moshi akiwa na Meneja wa kiwanda cha bia cha Serengeti Moshi Colman Hannah.8Meneja wa kiwanda cha bia cha Serengeti Moshi Colman Hannah(kulia) akitoa ufafanuzi zaidi kuhusu utengenezaji wa bia ya Guinness kwa Balozi wa Ireland nchini  Fionnuala Gilsenan(wa pili kutoka kulia) na katibu wa balozi huyo Nicholas Michael(wa pili kushoto)
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: