KAMA
mfatiliaji wa muziki wa Dansi Tanzania, jina la Mc D si jina geni
kwako, jina lake halisi ni Masoud Mohamed, ni mpiga tumba kutoka bendi ya
African Stars Band’Twanga pepeta’ taarifa hizi zimetangazwa usiku na
kuthibitishwa na msemaji wa Twanga pepeta Hassan Rehani.
Taarifa zaidi inasema kuwa Mc D alikua Moshi kwa matibabu zaidi ya
miezi miwili na hali yake iliendelea vizuri hadi usiku wa jana wa January 27
hali yake ilipobadilika na kufariki dunia.
Wiki chache nyuma ilisemekana Mc D alikua akiendelea vizuri kwani
hatua ngumu ya dozi ya kali ya kifua kikuuu alikua kaivuka na sasa
alikua amebadilishiwa dawa, aliongea kwa matumaini makubwa kuwa atarejea
jukwaani muda si mrefu.
Miongoni mwa bendi alizozitumikia Mcd enzi ya uhai wake ni pamoja na Diamond Sound, Mashujaa Band na Twanga pepeta.
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
Home / Uncategories / TAARIFA MPYA !!! BENDI YA MUZIKI WA DANSI YA TWANGA PEPETA YAMPOTEZA MPIGA TUMBA MAHILI MC D ALIYEFARIKI DUNIA USIKU WA JANUARI 27 MWAKA HUU.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment