BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

UHABA WA MAJI MANISPAA YA MOROGORO.


Binti mkazi wa Kiwanja cha Ndege Manispaa ya Morogoro akiwa amebeba lundo la ndoo kichwani eneo la Mayuku wakati akitafuta maji kwa ajili ya matumizi ya nyumbani baada ya Manispaa hiyo kukumbwa na uhaba wa maji wa mara kwa mara.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: