BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAFUNZO KWA VITENDO SHULE YA AWALI KITENGO CHA VIZIWI SHULE YA MSINGI KILAKAKA MANISPAA YA MOROGORO.


Mwanafunzi wa darasa la awali kitengo cha viziwi katika shule ya msingi Kilakala Manispaa ya Morogoro, Benadetha Gaudence (7) akijifunza namna ya kuunganisha vipande kwenye ubao ili kuunda ramani ya Afrika kwa wanafunzi wenye ulemavu huo wakati wa somo la vitendo vya montesor shuleni mkoani hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: