BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MTARO WA MAJI MACHAFU YA MACHINJIO YA MTAWALA KERO TUPU MOROGORO.

 Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini, Abdullaziz Abood (mwenye sharti la maua) akiangalia maji yaliyochanganyikana na kinyesi cha mifugo katika machinjio ya Mtawala ambapo maji hayo yamekuwa yakitiririka na kuingia katika makazi ya wananchi eneo la mtaa wa Mtawala hali ambayo inatokana na miundombinu mibovu ya mfumo wa majitaka ya machinjio hayo kuharibika kwa muda mrefu bila kutengeneza wakati wa ziara ya mbunge huyo iliyohusisha viongozi wa afya wa Manispaa ya Morogoro ya kuangalia namna ya kutatua kero hiyo mkoani hapa.  
 Hapa Mhe Abood akiruka mtaro huo eneo la machinjio hayo ambao unaelekea katika makazi ya wananchi eneo la Mtawala.
Huu ndiyo mtaro ambaro una maji machafu ambayo yanatoa harufu kali unaokatiza katikati ya makazi ya watu mtaa wa Mtawala mjini hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: