BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

TAMASHA LA SANAA LA WATOTO LA PAUKWA 2012

Kiongozi wa bendi ya Ngoma Afrika Morogoro, David Kitururu kushoto akisakata dansi na mwanafunzi wa shule ya msingi Bungo, Jonas Koba (15) wakati wa ufunguzi wa tamasha la sanaa la watoto la paukwa 2012 linaloshirikisha wanafunzi wa shule za msingi katika Manispaa ya Morogoro kwenye uwanja wa jamhuri mkoani hapa.
                                 
Msaani maarufu wa kughani tenzi na mashairi nchini, Mrisho Mpoto akitumbuiza kwa kughani mashairi wakati wa ufunguzi wa tamasha la sanaa la watoto la Paukwa 2012 linaloshirikisha wanafunzi wa shule za msingi katika Manispaa ya Morogoro kwenye uwanja wa jamhuri mkoani hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: