BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ZOEZI LA UOKOAJI LINAVYOENDELEA KATIKA AJALI YA MELI YA MV SKAGIT ZANZIBAR.

 Meli ya  Mv Skagit ikiwa imeshazama huko katika bahari ya Chumbe Zanzibar na ikiwa na abiria 250 juu ni baadhi ya waokoaji wakiwa tayari kutoka huduma ya kwanza.
Waokoaji wakimuokoa mmoja wa abiria ili kumuingiza katika boti.
Baadhi ya Abiria wakiwa katika moja ya chombo cha kuokolea wakielea baharini wakisubiri kuokolewa. 

  
Waokoaji wakimuokoa mmoja wa wahanga hao.
 Raia wa kigeni baada ya kuokolewa kutoka katika ajali hiyo

Daktari akitowa huduma ya kwanza kwa mmoja wa majeruhi wa boti iliozama ikiktokea Dar-es-Salaam kuelekea Zanzibar

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: