RAIS JOSEPH KABILA.
DADI ya watu waliouawa kwa homa ya ebola huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeongezeka na kufikia 14 huku mripuko huo ukiwa bado haujadhibitiwa.
Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza
kuwa kitovu cha mripuko wa homa hiyo ya ebola ambayo awali mwezi
uliopita ilimuuwa mhanga wake wa kwanza, ni mji wenye shughuli nyingi wa
Isiro katika mkoa wa Orientale, hata hivyo homa hiyo imeenea pia huko
Viadana mji ulioko umbali wa kilomita 75 kutoka mjini Isiro.
WHO pia
imeomba msaada wa karibu dola milioni mbili ili kusaidia sekta dhaifu ya
afya ya Kongo kukabiliana na maradhi hayo.
0 comments:
Post a Comment