BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HAWA NI MASTAA WA BONGO WALIOKATAA KUTUMI MKOLOGO NA WANAMVUTO WA NGOZI ZAO ZA ASIRI.

my twinnie Vmoney
Fiderine Iranga
Aunt Ezekiel
Zamaradi M
Irene Uwoya
Linah baby
Dina n Sakina 
Miriam Odemba
yes wapenzi leo nimewaletea maduu wa bongo wasiojua hata chembe ya kujipiga deki , kwakweli hawa wadada wameamua kurithi asili yetu ya UAfrica, hawajui hata lotion nini kwao, inapendeza kuona bado kuna vichuna vipo black na wanakikii kinoma town. hongereni sana wapendwa kwa kujiweka sopsop bila carolight.

kuwa mmoja wao  USIJICHUBUE
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: