BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

JK ATEMBELEA BANDA LA OSHA KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA HIFADHI YA JAMII DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, akisikiliza maelezo toka kwa Mkurugenzi wa Usalama na Afya Ndugu Alex Ngata alipotembelea Banda la OSHA kwenye maadhimisho ya wiki ya Hifadhi ya Jamii Dodoma
 Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Adam Malima akipata maelezo kuhusu mpango wa uchangiaji wa hiari wa PSPF na maafisa wa Mfuko huo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: