BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

DIMPOZ KUFUNGA SAFARI YA KWENDA MORO KUOMBA MSAMAHA KWA KWA KUMTUSI MAREHEMU MANGWEA.

ommy dimpoz

BAADA   ya  watanzania  kumwandama  Ommy  Dimpoz  kutokana  na  tusi  alomtukana  marehemu  Albert Mangwea,  msanii  huyo  ameamua  kuwapigia  magoti  watanzania  na  kuwasihi  wamsamehe.

Hali  hiyo  imekuuja  baada  ya  watu  mbalimbali  kutangaza  kumsaka  Ommy  kwa  lengo  la  kumwadabisha  kwa  kumpa  kichapo   kikali.

Miongoni  mwa watu  hao  ni  TID ambaye  jana  kupitia  ukurasa  wake  wa  facebook  ametangaza  vita  dhiti  ya  Ommy  Dimpoz.

Hii  ni  post  ya Ommy  ambayo  ameitoa  akiomba  asamehewe  kwa  kauli  zake  na  matusi  aliyoyatoa  kwa  marehemu  Ngwea.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: