BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HAWA NDIYO MAJERUHI WA MABOMU WALIOLAZWA HOSPITALI YA SELIANI BAADA KUJERUHIWA KATIKA UWANJA WA SOWETO JIJINI ARUSHA JANA.

mwandishi wa habari wa Radio Ngurumo ya upako Hizla Kwaya akiwa amelala katika hospitali ya seliani mara baada ya kujeruliwa na bomu sehemu ya miguu
Mzee Steven Mwita akiwa seliani yeye alijeruliwa sehemu ya mdomo
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: