MOTO WAZUA KIZAAZAA KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM mtanda blog 1:17 PM Edit Moto ukiunguza paa la baa hiyo. Hali ikiwa tete. Shoti ya umeme ikitokea karibu na jengo hilo. Zimamoto wakiwa kazini. Tanesco wakikata umeme. Watu waliojaa kushuhudia tukio hilo. Moto mkubwa umezuka jijini Dar es Salaam karibu kabisa na Soko Kuu la Kariakoo leo asubuhi na kuteketeza baa moja. Chanzo cha moto huo inadaiwa kuwa ni hitilafu ya umeme iliyotokea jirani na baa hiyo. (Picha na Chande Abdallah / GPL) Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus About mtanda blog Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment