BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SHERIA: TWENDENI KITUONI MKAELEWANE.

 Askari wa jeshi la polisi mkoa wa Morogoro akiwaongoza mwanaume na mwanamke baada ya kutokea kutoelewa baina yao katika stendi kuu ya daladala yaendayo nje ya Manispaa ya Morogoro kwa kile kinachodaiwa mwanake kutaka kuond
oka na watoto jambo ambalo mwanaume hakuridhia mapngo huo wakati akiwapeleka katika kituo kikuu cha polisi mkoani Morogoro. 
PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: