azeti tando (Blogggers) juu ya kampeni mpya ya
kuhamasisha matumizi mazuri ya Mitandao ya Mawasiliano ,iliyofanyika leo
kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano
Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),
Profesa John Nkoma akibonyeza kitufe kwenye Kompyuta ikiwa ni ishara ya
uzinduzi wa Wimbo wa kampeni mpya ya kuhamasisha matumizi mazuri ya
Mitandao ya Mawasiliano hapa nchini.
Sehemu ya Washiriki wa Warsha hiyo ya kwa wadau mbali mbali
wa maswala ya habari hapa nchini wakiwemo wamililiki wa magazeti tando
(Blogggers) juu ya kampeni mpya ya kuhamasisha matumizi mazuri ya
Mitandao ya Mawasiliano ,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa
Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza
B,jijini Dar es Salaam.
Msanii wa Muziki wa Kiasili,Mrisho Mpoto akisisitiza jambo
juu ya umuhimu wa Mawasiliano Mazuri ya Mitandao wakati wa Warsha ya
siku moja kwa wadau mbali mbali wa maswala ya habari hapa nchini
wakiwemo wamililiki wa magazeti tando (Blogggers) juu ya kampeni mpya ya
kuhamasisha matumizi mazuri ya Mitandao ya Mawasiliano ,iliyofanyika
leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Mamlaka ya Mawasiliano
Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa Wamiliki wa Magazeti tando hapa nchini
(Blogger),John Bukuku kutoka Full Shangwe Blog akitoa shukrani zake za
dhati kwa TCRA ikiwa ni kwa niaba ya Bloggers Wengine baada ya
kutambuliwa kuwa ni sehemu ya Vyombo ya Habari hapa nchini.
TCRA YAHAMASISHA MATUMIZI MAZURI YA MAWASILIANO, NI BAADA YA KUZINDUA KAMPENI MPYA.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),
Profesa John Nkoma akizungumza na wadau mbali mbali wa maswala ya habari
hapa nchini wakiwemo wamililiki wa magazeti tando (Blogggers) juu ya
kampeni mpya ya kuhamasisha matumizi mazuri ya Mitandao ya Mawasiliano
hapa nchini ,iliyofanyika leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu
ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania,Uliopo eneo la Sinza B,jijini Dar es
Salaam.
Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania
(TCRA), Innocent Mungy akifafanua jambo wakati wa Warsha ya siku moja
kwa wadau mbali mbali wa maswala ya habari hapa nchini wakiwemo
wamililiki wa mag
0 comments:
Post a Comment