ia kilele hivi karibuni katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere mkoani Morogoro. PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani Ahmed Kipozi kushoto akimweleza jambo mgunduzi wa mashinde ya kubangua karanga Said Geregeza juu ya kuibiresha mashinde hiyo kuwa ya kisasa wakati alipotembelea banda la halamshauri ya Kilindi wilaya ya Tanga katika maonyesho ya wakulima ya nanenane kanda ya mashiriki katika viwanja vya kimataifa vya Mwl Julius Nyerere mkoani Morogoro. kulia ni Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Jordan Rugimbana

0 comments:
Post a Comment