
Rais
Jakaya Kikwete (hayupo pichani) akimuapisha Katibu Mkuu Mpya wa Wizara ya
Habari ,Vijana , Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga (kulia) leo katika
viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais
Jakaya Kikwete (kushoto) akimuapisha Naibu Katibu Mkuu Mpya wa Wizara
ya Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo, Prof.Elisante Ole Gabriel
Laizer ( kulia) leo katika hafla Ikulu Dar es Salaam,PICHA NA MWANAKOMBO JUMAA WA MAELEZO.





About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
0 comments:
Post a Comment