Ukikamatwa Saudi Arabia, kama mkiwa wengi
mtaadhibiwa kwenye kifaa hiki.
Kama siku hiyo mpo wachache, au ukiwa peke yako, utamalizana nao kwa style hii.
Au wakikuhurumia watakufanya hivi..
Ukishikwa China, watakupiga risasi mbele za watu,
Kwanini u'risk maisha yako?
Kijana, fikiria mama yako aliyekuzaa akiona unaishia hivi atasononekaje moyoni mwake?
Ni kweli umeishiwa mbinu za kujipatia kipato kwa njia nyingine halali ?.
Kijana wa Kitanzania, wewe ni spesho hakuna kama wewe.
Hakuna kitu chenye thamani kama maisha yako.
About mtanda blog
Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
0 comments:
Post a Comment