BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MISRI YATANGAZA HALI YA HATARI.

Wafuasi wa rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Morsi wakizingira gari la polisi lililokuwa linawaka mota wakati wa mapambano na vikosi vya usalama katika mtaa wa Mohandessin, Jumatano, Aug. 14, 2013. Egyptian security forces, backed by armored cars and buWafuasi wa rais aliyepinduliwa Misri Mohamed Morsi wakizingira gari la polisi wakati wa mapambano na vikosi vya usalama vya Misri katika mtaa wa Cairo wa Mohandessin, Misri,  Augusti 14, 2013.Wafuasi wa rais aliyepinduliwa Misri Mohamed Morsi wakiimba nyimbo dhidi ya waziri wa ulinzi  Gen. Abdel-Fattah el-Sissi wakati wa mapambano na vik
osi vya usalama katika mtaa wa Cairo wa  Mohandessin , Augusti 14, 2013. Supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi carry another as Egyptian security forces clear a sit-in camp set up near Cairo University in Cairo's Giza district, Egypt, August 14, 2013. A wounded protester lies on the ground as Egyptian security forces clear the smaller of the two sit-ins by supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi, near the Cairo University campus in Giza, Cairo, Egypt, August 14, 2013.Fires burn as Egyptian security forces clear a sit-in by supporters of ousted Islamist President Mohammed Morsi in the eastern Nasr City district of Cairo, Egypt,  Aug. 14, 2013. 

SERIKALI ya Misr imetangaza amri ya dharura kote nchini kuanzia hii leo, kwa muda wa mwezi moja kufuatana na taarifa ya rais iliyotangaza na televisheni ya taifa.
Taarifa hiyo ina liamrisha pia jeshi kukisaidia kikosi cha polisi "kutanzua mzozo unaotokea kote Misri."

Taarifa hiyo imetolewa wakati vikosi vya usalama vilikuwa vinashambulia makambi mawili kuwaondowa wafuasi wa rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Morsi kati kati ya mji mkuu wa Cairo.

Wakati huo huo kumekuwepo na ripoti zinazotofautiana hii leo juu ya idadi ya watu walouliwa na walojeruhiwa katika ghasia zinazotokea kote nchini. Wizara ya afya inaeleza watu 95 wameuliwa na wengine 974 kujeruhiwa kote nchini.

Hata hivyo baadhi ya wanachama wa chama cha Muslim Brotherhood cha Morsi wanasema idadi ya walofariki imefikia hadi 2,200 na wengine elfu 10 kujeruhiwa. sauti ya amerika haijaweza kuthibitisha idadi hizo zote zinazotolewa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: