Pichani ni Mwili
wa Mtu aliyekutwa katupwa katika Msitu
wa Kibamba Hospitali na Makondeko Luguruni, ukiwa katika
hali mbaya kutokana na kudhaniwa kuwepo kwa takribani siku
4 na zaidi, mpaka sasa hajatamb
ulika kwa jina, kutokana na kuharibika.
wa Kibamba Hospitali na Makondeko Luguruni, ukiwa katika
hali mbaya kutokana na kudhaniwa kuwepo kwa takribani siku
4 na zaidi, mpaka sasa hajatamb
ulika kwa jina, kutokana na kuharibika.
Kikosi cha Askari kwa kushirikiana na Mjumbe wa
Nyumba kumi kumi, Serikali ya Mitaa, kwa pamoja wamekubaliana kuuzika
Mwili huo Pale alipokutwa katelekezwa. Baadhi ya Askari wakiwa eneo la Tukio kwa
Maziko na Uchunguzi.
Maziko na Uchunguzi.
Halii hiyo imesababis
ha hofu kwa wakazi wa Maeneo ya Kibamba, Mbezi
ha hofu kwa wakazi wa Maeneo ya Kibamba, Mbezi
na Vitogoji vya Jirani.
Hivyo
wameitaka serikali kuongeza jitihada za
Ulinzi ususani wakati wa Usiku katika Bonde la
Makondeko kuelekea Kibamba Hospitali.
(Picha Zote na Shaaban Mpalule).
Ulinzi ususani wakati wa Usiku katika Bonde la
Makondeko kuelekea Kibamba Hospitali.
(Picha Zote na Shaaban Mpalule).
Baadhi
ya wakazi wa Maeneo ya Kibamba na Makondeko, wakijaribu kutambua Mwili
huo ambao umekutwa Eneo alikokutwa katelekezwa, Bondeni kutoka katika
Daraja
la Kibamba Hospitali na Makondeko.
la Kibamba Hospitali na Makondeko.
Baadhi ya
wakazi wa Maeneo ya Kibamba na Makondeko, wakijaribu kutambua Mwili
huo ambao umekutwa Eneo alikokutwa katelekezwa, Bondeni kutoka katika
Daraja
la Kibamba Hospitali na Makondeko.
VIA/michuzijr.blogspot.com
la Kibamba Hospitali na Makondeko.
VIA/michuzijr.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment