Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Ndugu Charles Gishuli .
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na madiwani wa CCM na Wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Buhigwe.
Madiwani
na Wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Buhigwe waliohdhuria kikao
kilichoongozwa na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akivishwa skafu alipowasili katika ofisi za CCM wilaya ya Kibondo.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisaini kitabu cha wageni katika
za ofisi za CCM wilaya ya Kibondo sanjali na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa
Kigoma Dk.Amani Kaborou.
Baadhi
ya wanachama na wapenzi wa CCM wilaya ya Kibondo wakiwa wamefurika
katika ofisi za wilaya ya Kibondo kumsalimia Katibu wa NEC Itikadi na
Uenezi Nape Nnauye.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati
mkutano na madiwani na wajumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya Kibondo.
0 comments:
Post a Comment