BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

PPF NA UDHAMINI WA MASHINDANO YA TAIFA YA RIADHA JAMHURI MOROGORO LEO.

 
 
Rais wa chama cha riadha Tanzania na Mkuu wa wilaya ya Mvomero Anthony Mtaka (katikati) akifafanua jambo wakati akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mashindano ya taifa ya riadha ya Chilly Willy National Athltics-Champ
ionship katika hoteli ya Nashera yanayoanza kutimua vumbi leo kwa siku mbili katika uwanja wa jamhuri kwa mbio fupi na ndefu mkoani Morogoro jana. kutoka kulia ni mwakilishi wa wadhani wa mbio hizo kutoka PPF, Mhasibu wa mfuko wa PPF kanda ya mashariki, Joseph Fungo na kushoto ni Meneja masoko wa TSN Group, Yohana Manoli. PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
 Mwakilishi wa wadhamini wa mbio hizo kutoka PPF, Mhasibu wa mfuko wa PPF kanda ya mashariki, Joseph Fungo akirekebisha bango linalojulisha huduma zinazotolewa na mfuko huo. kushoto ni Rais wa chama chicho, Anthony Mtaka. PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
 
Rais wa chama cha riadha Tanzania na Mkuu wa wilaya ya Mvomero Anthony Mtaka kulia akiwa na mwakilishi wa wadhani wa mbio za riadha kutoka TSN GROUP Yohana Manoli kupitia kinywaji chao cha Chilly. PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
 Mwandishi mkongwe wa TBC 1 Monica Lyampawe kulia akiwa na Lilian Justice (MAJIRA) Latifa Ganzel (UHURU) na Fitina Haule (NIPASHE) katika mkutano huo.PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
 
 Mratibu wa Morogoro Press Club Thadei Hafigwa kushoto akiwa na waandishi katika tukio hilo.PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
 Huyu ni Mdada Kasilda Mgeni akiwajibika kwa kupiga picha kwa ajili ya Star TV. PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
 
Fitina Haule wa Nipashe kushoto na Lilian Justice wa Majira kulia wakiandika dondoo wakati wa mkutano huo.PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: