HIVI sasa watafiti wengi wameonyesha kukubaliana na
jambo hilo. Wanasema kwamba, wasichana wengi hubabaika na kufanya mambo yenye
kuwaumiza kutokana na hofu kwamba, muda unakwenda haraka na watazeeka. Lakini
pia huamini kwamba, starehe zitaisha.
Watafiti hao wanasema, kutokana na maumbile ya wanawake, ambapo miili yao hupevuka haraka, wengi huhofia sana umri. Wameb
aini kwamba, mwanamke anachukia
sana kuambiwa amezeeka au hujihami zaidi kuliko mwanaume asionekane kwamba,
amezeeka. Kuzeeka kwa wanawake walio wengi kuna maana ya kuchusha na
kutokupendwa tena.Watafiti hao wanasema, kutokana na maumbile ya wanawake, ambapo miili yao hupevuka haraka, wengi huhofia sana umri. Wameb
Mwanamke anapofikia umri wa miaka 25 huanza kujiuliza kuhusu kuolewa, lakini
pia huanza kujiuliza kuhusu watoto. Kama hajaolewa, hana mchumba au anahisi
kutokupata mtu anayeamini atamfaa, huanza kuhofia. Anapofikia umri huo huanza
kujiuliza pia kuhusu watoto.
Hofu za maisha ya upweke ya baadaye humjaa na kumfanya kuanza kubabaika. Ni katika kubabaika huko, ndipo ambapo huweza kufanya mambo ambayo watu wengine hujiuliza ni kitu gani kimemsibu.
Kwa kuhofia kuchelewa kuolewa au kutoolewa kabisa, anaweza kumkubali mtu ambaye vinginevyo asingekubali kuwa naye kama mume.
Hofu za maisha ya upweke ya baadaye humjaa na kumfanya kuanza kubabaika. Ni katika kubabaika huko, ndipo ambapo huweza kufanya mambo ambayo watu wengine hujiuliza ni kitu gani kimemsibu.
Kwa kuhofia kuchelewa kuolewa au kutoolewa kabisa, anaweza kumkubali mtu ambaye vinginevyo asingekubali kuwa naye kama mume.
Kwa hofu ya kuingia kwenye umri
mkubwa akiwa hana mume, humbeba yeyote. Katika mazingira kama haya ndipo ambapo
unakutana na wale ambao huolewa kwa madai ya kuondoa mkosi.
Anachotaka ni
kuolewa na mwanaume yeyote, ili mradi ionekane kwamba, maishani mwake naye
alishawahi kuolewa. CHANZO http://www.jamiiforums.com
0 comments:
Post a Comment