Waziri
mkuu wa Thailand Bi. Yingluck Shinawatra akiwapungia mkono kuwaaga
baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es salaam na viongozi wa Serikali
wakiongozwa na Rais Jakaya Kikwete mara baada ya kukamilisha ziara yake
ya siku 3 nchini Tanzania.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete akiwa na baadhi ya
viongozi wa jiji la Dar es salaam wakipunga mkono kumuaga rasmi Waziri
mkuu wa Thailand leo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Julius
Nyerere. Picha na Aron Msigwa -MAELEZO.
Rais
Jakaya Kikwete akizungumza jambo na Waziri mkuu wa Thailand Bi.Yingluck
Shinawatra katika uwanja wa kimataifa wa ndege wa Mwalimu Julius
Nyerere leo jijini Dar es salaam.
0 comments:
Post a Comment