MADAWA YA KULEVYA YAGEUKA HABARI YA MJINI: CHEKI WALIMBWENDE HAWA WALIVYOBAMBWA NA MADAWA YA KULEVYA!
ort ya Lima nchini Peru wakijaribu kusafirisha mzigo huo.
Passport za mabinti hao zinawatamburisha kama raia wa uingereza na huko ndiko mzigo huo ulikuwa unaelekea.
Baada ya kukamatwa na polisi mabinti hawa Mellisa 19 na Michaella 20, walikubali kosa hilo la kujaribu kusafirisha madawa ya kulevya aina ya Cocaine na hadi hivi sasa wapo kwenye mikono ya polisi.


0 comments:
Post a Comment