Kelvin akiwa hospitalini baada ya kuokolewa na wenzake wakati chatu aliyetaka kummeza nchini Zambia.
RAIA mkazi wa Mwinilunga nchini Zambia
ameponea chupu chupu kupoteza maisha baada ya kuvamiwa na chatu.
Kelvin Katoka ambaye ni dereva wa malori
yanayochimba mchanga katika machimbo ya Copa alirukiwa na chatu huyo mkubwa na
kuanza kumzungurusha kwa nia ya kuanza kummeza mzima mzima.
Hata hivyo, Kelvin alipambana na chatu yule
kwa kumng'ata sehemu mbali mbali za mwili wake bila mafanikio.
Hapo Kelvina
mwenye umri wa miaka 25 tu alijitahidi kuchomoa kisu mfukoni na kumchoma joka
huyo mara kadhaa kabla hajaishiwa nguvu na kupoteza fahamu wak
ati ambapo bado
chatu yule alikuwa tayari ameshinda vita hiyo na kumbana huku akiwamemminya na kuanza kummeza.
Kelvin akihi mate ya nyoka yule yakiwa kichwani
mwake yakianza kukutirika ikiwa njia ya alainishwe ili aanze kumezwa, ndipo wafanyakazi wenzake wawili walipopita katika eneo hilo na kupamba na chatu yule na muachia huku waifanikiwa kumuua na Kelvin kumkimbiza Hospitalini ambapo hali ya Kelvin inaendelea vizuri sanjari na matibabu.
0 comments:
Post a Comment