
iliwa kwa Passport yake na Serikali,Masanja amepinga vikali kuhusu kushikiliwa na passport yake na amedai kuwa anayo haikushikiliwa na serikali na kwamba habari za kuhusu yeye na madawa ya kulevyo ni mbali sana na yeye na habari hizo ni uzushi mtupu!! na kama kuna mwenye uhakika na hilo ajitokeze!!!

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
0 comments:
Post a Comment