BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MSANII WA BONGO MOVIE LICHA YA KUWA NA KIPAJI KATIKA TASNIA HIYO PIA ANA KIPAJI KINGINE.


LULU MICHAEL
LULU alikuwa kati ya wasanii waliofika eneo hilo kushiriki katika harambee ya kansa ya wanawake iliyoendeshwa na
taasisi ya kuzuia kansa nchini ambapo baada ya zoezi hilo, waalikwa walijong

ea eneo la maakuli.

Huku akionekana mwenye ‘ubao’, Lulu alikwenda kwenye foleni na kuchukua pleti ya kwanza, akaifuta kisha akanyanyuka na kwenda kuchukua nyingine, nayo akaimaliza, baada ya muda akaenda kuchukua nyingine ambapo haikufahamika kama nayo aliifuta au alisaidiwa na mtu.


Akilizungumzia tukio hilo, Lulu aliliambia Ijumaa: “Nakula sana na hii ni kawaida yangu, najua watasema lakini kwenye msosi huwa sikai nyuma.”
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: