BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

CHANGAMOTO ZA WIZI NDIYO HIZI, KIJANA ANAYETUHUMIWA KUIBA SANDUKU LA SPANA APOPEA KICHAPO DAR ES SALAAM.

...Akidhibitiwa asikimbie.
Mwizi huyo akishushiwa kibano na raia.
 

...Akijitetea baada ya kipondo.… Mwizi huyo akishushiwa kibano na raia.
 

Akiwa amekalishwa chini kusikilizia maamuzi.
KIJANA mmoja jana jioni alinusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kutuhumiwa kuiba sanduku la kuhifadhia spana katika gereji moja iliyopo eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar es Salaam. (PICHA GPL)

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: