Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Waziri wa Rehabilitation and
Reforms wa Sri Lanka Bwana Chandrasiri Gajadeera, mara baada ya
kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Bandaranaike huko
Colombo, mji mkuu wan chi hiyo tarehe 14.11.2013. Mama Salma amefuatana
na Rais Kikwete kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuia ya Madola.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipokewa kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Bandaranaike, mjini Colombo Sri Lanka na Mheshimiwa Chandrasiri Gajadeera, Waziri wa Rehabilitation and Reforms wan chi hiyo wakati alipowasili leo asubuhi kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuia ya Madola unaoanza tarehe 15.11.2013.PICHA NA JOHN LUKUWI
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiambatana na Mkewe Mama Salma akitia saini kwenye kitabu cha wageni mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Bandaranaike nchini Sri Lanka kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuia ya Madola tarehe 14.11.2013.

0 comments:
Post a Comment