
SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia watanzania wenye sifa na uwezo kujaza jumla ya nafasi wazi za kazi 2,748 kwa ajili ya waajiri mbalimbali Nchini.
Kwa
mujibu wa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.
Xavier Daudi nafasi hizo za kazi ambazo zinapatikana katika tovuti ya
Sekretarieti ya Ajira ambayo ni www.ajira.go.tz ni kwa ajili ya waajiri mbalimbali wa Ofisi za Umma.
Daudi alitaja nafasi za kazi zinazotangazwa kuwa ni Afisa Uvuvi daraja
la ii, Mvuvi msaidizi daraja la ii, Afisa Mifugo msaidizi daraja la ii,
Afisa mifugo daraja la ii, Mteknolijia wa samaki daraja la ii, Daktari
wa mifugo daraja la ii,Afisa utafiti Mifugo daraja la ii, Daktari
utafiti Mifugo daraja la ii, Fundi sanifu Maabara Mifugo daraja la ii,
Mkufunzi Mifugo daraja ii, Mkufunzi wa Mifugo msaidizi na Daktari
Mifugo.
Kada nyingine ni Mkufunzi daraja la ii, Mtekinolojia wa
Samaki msaidizi daraja la ii, uunda boti daraja ii, nafasi 2, Dereva wa
vivuko daraja la ii, msaidizi mifugo,afisa kilimo daraja la ii, Afisa
kilimo msaidizi daraja la ii, Mhandisi kilimo daraja la ii, Fundi sanifu
daraja la ii, Afisa utafiti kilimo daraja la ii, Mkufunzi wa kilimo
msaidizi, Afisa kilimo msaidizi daraja la iii,Dereva daraja la ii,
mlinzi, Mhasibu mkuu daraja ii, Msanifu lugha mkuu iii na Afisa vipimo.
Kwa mujibu wa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira nafasi hizo za kazi ni
kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo, Katibu
Mkuu Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Mkurugenzi Halmashauri
Wilaya ya Kiteto, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mlele, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Kalambo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mpanda,
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nkasi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya
Sumbawanga na Mkurugenzi Manispaa ya Kinondoni.
Nafasi
nyingine ni kwa ajili ya Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kyerwa,
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chato, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya
Misenyi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ngara, Mkurugenzi Halmashauri
Wilaya ya Muleba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bukoba, Mkurugenzi
Halmashauri ya Mji Handeni, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mkinga.
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kilindi, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Korogwe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Pangani, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Handeni, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Korogwe na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Muheza.
Nafasi hizo pia ni
kwa ajili ya Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ulyankulu, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Sikonge, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Uyui,
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nzega, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji
Nzega, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Igunga.
Mkurugenzi Manispaa ya Tabora, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ikungi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mkalama, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Iramba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Manyoni, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Singida, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Itilima na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ushetu.
Waajiri wengine ni Mkurugenzi Halmashauri
Wilaya ya Msalala, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kishapu, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Bukombe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Meatu,
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Shinyanga, Mkurugenzi Halmashauri
Wilaya ya Maswa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kahama, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Bariadi, Mkurugenzi Manispaa ya Shinyanga.
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nyasa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Namtumbo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbinga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Tunduru, Mkurugenzi Manispaa ya Songea, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nyang`wale, Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Misungwi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ukerewe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Geita na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Magu.
Nafasi hizo za kazi pia ni kwa
aajili ya Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Tandahimba, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Newala, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Masasi,
Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Masasi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya
Gairo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mvomero, Mkurugenzi Halmashauri
Wilaya ya Kilombero.
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ulanga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Morogoro, Mkurugenzi Manispaa ya Morogoro, Mkurugenzi Halmashauri ya Mji Tunduma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Momba, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbarali, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ileje, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kyela, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chunya, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbozi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mbeya, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Rorya, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Serengeti.
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bunda, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Tarime, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Butiama, Mkurugenzi Halmashauri Manispaa ya Musoma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ruangwa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Nachingwea, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Lindi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mwanga na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Hai.
Katika nafasi hizo waajiri wengine ni
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Rombo, Mkurugenzi Halmashauri Manispaa
ya Moshi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kahama, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Uviza, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Monduli,
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Babati, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya
ya Hanang, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Simanjiro.
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bagamoyo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kisarawe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Rufiji, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mafia, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mkuranga, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Iringa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mufindi, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Makete, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Karatu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chamwino, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Mpwapwa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kondoa, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kongwa na Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Bahi.
Waajiri wengine katika nafasi hizo
za kazi ni Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Chemba, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Njombe, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kongwa,
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kilolo, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya
ya Makambako, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Ludewa, Mkurugenzi
Halmashauri Wilaya ya Wanging`ombe, Mkurugenzi Halmashauri Manispaa ya
Kigoma, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kigoma.
Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kasulu, Mkurugenzi Halmashauri Wilaya ya Kakonko, Katibu Tawala Mkoa Arusha, Katibu Tawala Mkoa Pwani, Katibu Tawala Mkoa Dodoma, Katibu Tawala Mkoa Iringa, Katibu Tawala Mkoa Kilimanjaro, Katibu Tawala Mkoa Mtwara, Katibu Tawala Mkoa Mwanza, Katibu Tawala Mkoa Ruvuma, Katibu Tawala Mkoa Tabora.
Katibu Tawala Mkoa Kagera, Katibu Tawala Mkoa Dar es salaam, Katibu Tawala Mkoa Rukwa, Katibu Tawala Mkoa Katavi, Katibu Tawala Mkoa Njombe, Katibu Tawala Mkoa Njombe, Katibu Tawala Mkoa Simiyu na Katibu Tawala Mkoa Geita.
Daudi amesema
mwisho wa kupokea barua za maombi ya kazi ni tarehe 10 Desemba, 2013.
Aidha amewataka waombaji wote wa fursa za ajira kutambua kwamba Kila
mwombaji kazi atapangwa katika kituo chochote cha kazi bila kujali eneo
au mahali alipoomba kutokana na mahitaji ya mwajiri pamoja na idadi ya
waombaji katika eneo husika.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Ofisi ya Rais-Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. 27 Novemba, 2013.
About mtanda blog
Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari

0 comments:
Post a Comment