
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akikata
utepe kuashiria kuzindua rasmi Mpango Mkakati wa 3 wa Kitaifa wa
Kudhibiti Ukimwi (NMSF3), wakati wa sherehe za Maadhimisho ya Siku ya
Ukimwi Duniani, zilizofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar
es Salaam, leo. Kushoto ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt.
Seif Rashid, (wa pili kulia) ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,
Mwantum Mahiza, Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya kudhibiti Ukimwi
Tanzania, Dkt. Fatma Mrisho.










0 comments:
Post a Comment