BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KWELI KUNA FURAHA YA UKWELI HAPA ?: MWANASHERIA WA CHEDAMA NA MBUNGE WA KASKAZINI MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM.


WAKILI wa Chadema Tundu Lissu kulia akisalimiana na Mhe Zitto Kabwe katika mahakama kuu kandab ya Dar es Salaam baada ya kumazika kwa kesi iliyofunguliwa na Kabwe.


Katika maombinamba 1 ya mwaka 2014, Zitto ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, aliiomba Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kuizua Kamati Kuu (CC) ya Chadema kumjadili au kuchukua uamuzi wowote kuhusu uanachama wake.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: