BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

PICHA YA SIKU !!! VISA VYA MAISHA NDANI YA MBUNGA YA WANYAMA TANZANIA.

CHUI wakiwa na mtoto wa suala baada ya kumkamata katika moja za mbuga za wanyama hapa Tanzania, swala ni adui mkubwaa wa chui kutokana na kitendo cha kumgeuza kuwa kitoweo chake, hata hivyo haikuweza kufahamika nini kiliendelea katika tukio hilo. MTANDA BLOG.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

1 comments:

Unknown said...

Watoto wa duma watafanyia mazoezi ya kukimbiza na kukamata mnyama ili kujenga uwezo wa kuwa wawindaji bora pale watakapoanza kujitegemea