BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

REAL MADRID YAITIA AIBU SCHALKE LIGI YA MABINGWA ULAYA, YAIHADAA KWA KUITANDIKA BAO 6-1 UJERUMANI.

article-2568686-1BDD161800000578-959_636x439KLABU ya Real Madrid imejiweka katika mazingira mazuri ya kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa ulaya baada ya kuilaza Schalke kwa mabao 6-1 katika mchezo uliofanyika nchini Ujerumani.

Mabao ya Real yalipachikwa wavuni na washambuliaji wao akiwemo Karim Benzema, Gareth Bale na Cristiano Ronaldo wote wakifunga mabao mawili mawili, Klaas Jan Huntelaar nae akaifungia bao la kufutia machozi Schalke.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: