91’ Kelvin Yondani anampiga kichwa mchezaji wa Mgamb
90(+4)’ Mgambo 2 Yanga 1
Fulltime 90(+2) Azam 2 Simba 1
85’ Azam 2 Simba 1
80’ Yanga wanapata kona ya 12. (2-12)
81’ Azam sub: Kipre Tchetche anatoka nafasi yake inachukuliwa na Brian Omony.
Mgambo wanachofanya ni kubutua tu kila mpira unaoenda langoni kwao.
Simba wanafanya mashambulizi ya nguvu langoni mwa Azam
72’ Azam 2 Simba 1.
65’ Mgambo 2 Yanga 1.
Mgambo JKT wanapata penalty
66’ Simba sub: Henry Joseph anatoka, anaingia Abdulhalim Humud
Dakika ya 65, anaingia Hussein Javu kuchukua nafasi ya Mrisho Ngasa
64’ Simba sub: Ramadhan Singano nje, Twaha Ibrahim anaingia.
Dakika ya 60, Mgambo JKT 1 - 1 Young Africans
60’ Azam 2 Simba 1.

0 comments:
Post a Comment