BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HII NDIYO TASWIRA YA MAHAFALI YA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI MOROGORO (MSJ) UWANJA WA KIMATAIFA WA MWL JULIUS NYERERE NANE NANE MKOANI MOROGORO.

Mwandishi wa habari wa kampuni ya Business Time Morogoro, Lilian Justice wa kwanza kushoto akiwa na wahitimu wenzake kutoka wizara ya mambo ya ndani ya nchi, Salum Sembua na Mwandishi na Mtangazaji wa kituo cha Abood Media, Vumilia Kondo wakifurahia jambo mara baada ya kuhitimu kozi ya uandishi wa habari ngazi ya stashahada katika mahafali ya chuo cha uandishi wa habari Morogoro (MSJ) yaliyofanyika jengo la chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine Morogoro (SUA) viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Nane Nane mkoani Morogoro. PICHA/MTANDA BLOG



Katibu Tawala mkoa wa Morogoro, Eliya Ntandu akimkabidhi cheti Mwandishi na Mtangazaji wa kituo cha Abood Media,Vumilia Konda baada ya kuhitimu kozi ya uandishi wa habari  ngazi ya stashahada katika mahafali ya chuo cha uandishi wa habari Morogoro (MSJ) yaliyofanyika jengo la chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine Morogoro (SUA) viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere Nane Nane mkoani Morogoro.kushoto ni Ni Mkuu wa chuo hicho Augustino Nongwe.
Katibu Tawala mkoa wa Morogoro, Eliya Ntandu akihutubia katika mahafali hayo, kushoto ni Ni Mkuu wa chuo hicho Augustino Nongwe.

 Wahitimu wakishindana kucheza muziki.
 
 Huyu akionyesha mazingaombwe
 
 Hapa wahitimu wakifuatilia matukio.
 Hawa wakionyesha picha baada ya kupiga wakati wenzao wakicheza
 



 
 Kulia ni Mwenyekiti wa Morogoro Press Club Idda Mushi baada ya kutoa zawadi kwa mhitimu.
 
 
 Sehemu kubwa ya wahitimu.
Waingia ukumbini
Picha ya pamoja.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: