BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HII NDIYO ADHA YA MAFURIKO YALIYOTOKEA KWA WAKAZI WA MANISPAA YA MOROGORO

 
Moja ya nyumba ya kulala wageni iliyopo kando ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Morogoro kata ya Kichangani ikiwa imezingirwa na maji ya mafuriko ya mkondo wa maji wa Kwamchuma sambamba na kuwa karibu na mita chache na mto wa Morogoro.PICHA/MTANDA BLOG.
Wakazi wa Kichangani wakiangalia maji ya mafuriko baada ya kuharibu nyumba zao.



 Mto Morogoro ukiwa umefurika maji kutokana na mvua hizo.
 Hawa wakijadiliana jambo baada ya mafuriko hayo
 Nyumba imeanguka
 Miundombinu ya barabara ya kata ya Kichangani na kata ya Mwembesongo eneo la matofarini ikiwa imeharibika na kuweka shimo upande wa kulia.
 Wakivuka katika mkondo wa maji yaliyokuwa yakitoka kwa Mchuma.
 Hawa wakielekea shule baada ya eneo walilokuwa wakilitumia kwa kupita kujaa maji ya mafuriko eneo la Oil Com
 Mkazi huyu akiendesha baiskeli katika mazingira magumu
 Wakiangalia nyumba zao zilizofurika maji ya mafuriko.






Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: